Thursday, January 28, 2010

Mwili wa Afisa wa CCM wapokewa


Katibu Mkuu wa CCM, Yussufu Makamba akiwa katika uwanja wa kimataifa wa mwalimu Nyerere na ndugu wa aliyekuwa afisa wa kitengo cha maadili na Usalama cha chama hicho, Yoaza Mjema leo mchana Yoaza alifariki dunia nchini India alikokwenda kwa matibabu, maziko ya Mjema yanafanyika Tanga.

No comments:

Tanzania Yaibuka Kidedea kwenye Tuzo za Utalii Duniani

Tanzania imeendelea kushikilia nafasi yake ya kimataifa kama “Nchi Inayoongoza Duniani kwa Utalii wa Safari” katika Hafla ya Fainali za Worl...