Thursday, January 28, 2010

Mwili wa Afisa wa CCM wapokewa


Katibu Mkuu wa CCM, Yussufu Makamba akiwa katika uwanja wa kimataifa wa mwalimu Nyerere na ndugu wa aliyekuwa afisa wa kitengo cha maadili na Usalama cha chama hicho, Yoaza Mjema leo mchana Yoaza alifariki dunia nchini India alikokwenda kwa matibabu, maziko ya Mjema yanafanyika Tanga.

No comments:

NHC YATOA ELIMU YA HATI PACHA, YASISITIZA UMOJA WA WAMILIKI SAMIA HOUSING SCHEME KAWE

 Samia Housing Scheme Kawe: nyumba 560, familia tofauti zikiunganishwa na mtindo mmoja wa maisha ya  kisasa—ushirikiano, ustaarabu na “moder...