Thursday, January 28, 2010

Mwili wa Afisa wa CCM wapokewa


Katibu Mkuu wa CCM, Yussufu Makamba akiwa katika uwanja wa kimataifa wa mwalimu Nyerere na ndugu wa aliyekuwa afisa wa kitengo cha maadili na Usalama cha chama hicho, Yoaza Mjema leo mchana Yoaza alifariki dunia nchini India alikokwenda kwa matibabu, maziko ya Mjema yanafanyika Tanga.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...