Tuesday, January 19, 2010

Majeruhi Ukerewe


Mbunge wa Ukerewe Balozi Getrude Mongel akimpatia pole mmoja wa Majeruhi wa tukio la ujambazi katika kisiwa cha Izinga wilayani Ukerewe Tesile mtelya (43) ambaye amejeruhiwa sehemu za siri na risasi akimuonyesha mbunge huyo.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...