Tuesday, January 19, 2010

Majeruhi Ukerewe


Mbunge wa Ukerewe Balozi Getrude Mongel akimpatia pole mmoja wa Majeruhi wa tukio la ujambazi katika kisiwa cha Izinga wilayani Ukerewe Tesile mtelya (43) ambaye amejeruhiwa sehemu za siri na risasi akimuonyesha mbunge huyo.

No comments:

MBUNGE WA BUNGE LA NORWAY AVUTIWA NA VIVUTIO VYA SERENGETI, AIKARIBISHA DUNIA KUTEMBELEA TANZANIA

Mbunge wa Bunge la Norway, Mhe. Himanshu Gulati , akiongozana na mwenyeji wake, Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo , ametembelea...