Tuesday, January 19, 2010

Majeruhi Ukerewe


Mbunge wa Ukerewe Balozi Getrude Mongel akimpatia pole mmoja wa Majeruhi wa tukio la ujambazi katika kisiwa cha Izinga wilayani Ukerewe Tesile mtelya (43) ambaye amejeruhiwa sehemu za siri na risasi akimuonyesha mbunge huyo.

No comments:

RAS ARUSHA ASISITIZA UTENDAJI KAZI UNAOZINGATIA MAADILI YA UTUMISHI WA UMMA

Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha, Dk. Toba Alnason Nguvila, amewasistiza watumishi wa Umma kufanya kazi kwa kufuata Sheria, taratibu na kanun...