Tuesday, January 19, 2010

Majeruhi Ukerewe


Mbunge wa Ukerewe Balozi Getrude Mongel akimpatia pole mmoja wa Majeruhi wa tukio la ujambazi katika kisiwa cha Izinga wilayani Ukerewe Tesile mtelya (43) ambaye amejeruhiwa sehemu za siri na risasi akimuonyesha mbunge huyo.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...