Sunday, January 24, 2010

Vodacom yazindua RED ALERT kuchangia maafa



Kampuni ya simu za mkonini Ya Vodacom Tanzania leo imezindua kampeni maalum ya kuchangia waliopatwa na maafa nchini, Kampebni ijulikanayo kwa jina la VODAFONE RED ALERT. Pichani ni Mkurugenzi wa Mfuko wa Maafa kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Bakari Shabani akifuatiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom Dietlof Mare wakizindua huduma jhiyo pamoja na viongozi wa Vodacom kwa kutuma ujumbe mfupi wa maneno unaotozwa Sh 250.

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...