Sunday, January 24, 2010

Vodacom yazindua RED ALERT kuchangia maafa



Kampuni ya simu za mkonini Ya Vodacom Tanzania leo imezindua kampeni maalum ya kuchangia waliopatwa na maafa nchini, Kampebni ijulikanayo kwa jina la VODAFONE RED ALERT. Pichani ni Mkurugenzi wa Mfuko wa Maafa kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Bakari Shabani akifuatiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom Dietlof Mare wakizindua huduma jhiyo pamoja na viongozi wa Vodacom kwa kutuma ujumbe mfupi wa maneno unaotozwa Sh 250.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...