Sunday, January 17, 2010

Mambo ya Ngaresero



Kina mama wa jamii ya kimasai wa Loliondo Ngorongoro wakiwa wanatembeza kuni mitaani wakiuza kwa mzigo mmoja shillingi 600. Picha na mussa juma

Pichani ni sehemu ya barabara ya kutoka makao makuu ya wilaya ya Ngorongoro- Loliondo kwenda Arusha kupitia njia ya Ngaresero eneo la Sale ikiwa imeharibiwa vibaya ya mafuriko kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...