Sunday, January 17, 2010

Mambo ya Ngaresero



Kina mama wa jamii ya kimasai wa Loliondo Ngorongoro wakiwa wanatembeza kuni mitaani wakiuza kwa mzigo mmoja shillingi 600. Picha na mussa juma

Pichani ni sehemu ya barabara ya kutoka makao makuu ya wilaya ya Ngorongoro- Loliondo kwenda Arusha kupitia njia ya Ngaresero eneo la Sale ikiwa imeharibiwa vibaya ya mafuriko kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...