Monday, January 04, 2010

fake products


A Fair Competition Commission (FCC), worker throw a fake Generator and cooking port at Pugu Kinyamwezi damp in Dar es Salaam before they destroyed, after they recovered at Dar es Salaam port.Their value was about 74 Shilings.PHOTO/ZACHARIA OSANGA

3 comments:

John Mwaipopo said...

sikatai hoja wa ushindani. katu sifanyi hivyo. ila ninaomba msaada wa mawazo.

kwa akili yangu nadhani hawa wanaodhibiwa wameleta nchini bidhaa feki. yaani bandia. nina wazo kuwa kunabidhaa zingine ufeki wake ni hatarishi kama dawa, vyakula na pengine vifaa vya umeme kama nyaya, majenereta na mita nakadhalika. hivi naviweka katika kundi hatarishi.

lakini pia nadhani kuna bidhaa zingine sio hatarishi kiivyo. kwa mfano mabakuli mabirika na vitu vya namna hiyo. au tuTV hivi. kumbuka baadhi ya vitu kama tv tushavinunua sana na tunavitumia bila shida hata leo hii kabla ya wazee wa fair competition.

mie nilidhani vitu visivyo hatarishi wagawiwe watu wasio na uwezo wa kuvipata. watumie mtazamo uleule wa kugawa samaki walioporwa kutoka kwa maharamia. kwa mfano bibi yangu vingemfaa sana hivyo vifaa vya kupikia.

Anonymous said...

Hi there! Do you use Twitter? I'd like to follow you if that would be okay. I'm absolutely enjoying your blog and look forward
to new posts.

Here is my web blog :: Reviewing gynexin alpha - Will be the method actually effective

Anonymous said...

What a stuff of un-ambiguity and preserveness of precious experience about
unpredicted emotions.

Look at my webpage; man busts and also medications/pills