Monday, January 25, 2010

Kituo cha Ubungo leo hii


Picha iliyopigwa kutoka juu ikionyesha kituo cha kidogo cha daladala Ubungo (Minazi - old name). Hapo awali daladala zilikuwa hazilipii kuingia ama kutoka. Kwa sasa manispaa imeanza kuwatoza kila wanapotoka katika lango kuu la kituo

No comments:

Tanzania kudhibiti ujenzi holela pembezoni mwa miji kuepuka gharama za miundombinu

Na Mwandishi Wetu WAKATI mataifa mengi ya Afrika yaliyo Kusini mwa Jangwa la Sahara yakishuhudia kasi kubwa ya ukuaji wa miji, Tanzania imec...