Monday, January 25, 2010

Kituo cha Ubungo leo hii


Picha iliyopigwa kutoka juu ikionyesha kituo cha kidogo cha daladala Ubungo (Minazi - old name). Hapo awali daladala zilikuwa hazilipii kuingia ama kutoka. Kwa sasa manispaa imeanza kuwatoza kila wanapotoka katika lango kuu la kituo

No comments:

CHUO KIKUU MZUMBE CHAPOKEWA MSAADA WA VITABU KUTOKA ACCA

  Chuo Kikuu Mzumbe kimepokea vitabu 69 vya kufundishia na kujifunzia kutoka Association of Chartered Certified Accountants (ACCA) kupitia o...