Wednesday, January 06, 2010

Hebu angalia maisha ya mtoto huyu



Mtoto anayeishi katika mazingira magumu akichezea tope jambo ambalo ni hatari kwa usalama wake kama ailvyokutwa na kamera yetu eneo la karume jijini Dar es Salaam jana. Paicha na Venance Nestory

No comments:

RC CHALAMILA ATOA SIKU SABA KWA MUAFAKA WA MGOGORO WA ARDHI TOANGOMA

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Albert Chalamila, ametoa muda wa siku saba kwa wadau wanaohusika na mgogoro wa muda mrefu wa ardhi katik...