Tuesday, January 26, 2010

Maandalizi tamasha la busara

Mwanamziki wa Kitanzania anayeishi nchi Japani, Fresh Jumbe akizungumza wakati wa mkutno na waandishi jijini Dar es Salaam jana kuhusu ushiriki wake katika tamasha la saba la muziki wa Sauti za Busara linalotarajiwa kufanyika mwezi ujao katika Ngome kongwe mjini Zanzibar. Picha na Salhim Shao

No comments:

RAS ARUSHA ASISITIZA UTENDAJI KAZI UNAOZINGATIA MAADILI YA UTUMISHI WA UMMA

Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha, Dk. Toba Alnason Nguvila, amewasistiza watumishi wa Umma kufanya kazi kwa kufuata Sheria, taratibu na kanun...