Sunday, January 31, 2010

Mambo ya twanga







Twanga Pepeta wakiamua kufanya mambo wanafanya kweli hebu wacheki hapa, yaani hapatoshi wakiwa katika harakati zao kwenye ukumbi wakifanya vitu vyao hakika mwenye kuburudika anaburudika si mchezo swali linabadi jeee hawa wasanii wanakipata kile wanachokitaka, wanachokifanya ndicho mnachokitaka, mbona hawa wasanii wa kiume wamevaa vizuri kuliko wa kike au ndo tusemeeeee kazi kwenu.

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...