Thursday, January 14, 2010

MABALOZI WA KAMPENI ZA KUTOKOMEZA MALARIA ZA KIZAZI ZINDUKA




Rais Jakaya Kikwete akiwa amepeana mkono na wanazumziki mbali mbali wa hapa bongo akiwamo Lady Jay Dee, Profesa Jay, na Banana Zorro, Ikulu jijini Dar jana,kwa lengo la kupiga picha mbalimbali kwa ajili ya kuhimiza/kuhamasisha mapambano ya kutokomeza ugonjwa wa Malaria hapa Tanzania,Mpango huo unawashirikisha pia baadhi ya wasanii akiwemo Prof Jay,Marlow,Mwasiti,Bibi Kidude,Banana Zorro na wengineo. Picha zaidi Bofya Hapa. kwa kubonya hapa

No comments:

NHC YATOA ELIMU YA HATI PACHA, YASISITIZA UMOJA WA WAMILIKI SAMIA HOUSING SCHEME KAWE

 Samia Housing Scheme Kawe: nyumba 560, familia tofauti zikiunganishwa na mtindo mmoja wa maisha ya  kisasa—ushirikiano, ustaarabu na “moder...