Thursday, January 14, 2010

MABALOZI WA KAMPENI ZA KUTOKOMEZA MALARIA ZA KIZAZI ZINDUKA




Rais Jakaya Kikwete akiwa amepeana mkono na wanazumziki mbali mbali wa hapa bongo akiwamo Lady Jay Dee, Profesa Jay, na Banana Zorro, Ikulu jijini Dar jana,kwa lengo la kupiga picha mbalimbali kwa ajili ya kuhimiza/kuhamasisha mapambano ya kutokomeza ugonjwa wa Malaria hapa Tanzania,Mpango huo unawashirikisha pia baadhi ya wasanii akiwemo Prof Jay,Marlow,Mwasiti,Bibi Kidude,Banana Zorro na wengineo. Picha zaidi Bofya Hapa. kwa kubonya hapa

No comments:

RAS ARUSHA ASISITIZA UTENDAJI KAZI UNAOZINGATIA MAADILI YA UTUMISHI WA UMMA

Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha, Dk. Toba Alnason Nguvila, amewasistiza watumishi wa Umma kufanya kazi kwa kufuata Sheria, taratibu na kanun...