Tuesday, June 10, 2008

Maskini Mrema


Mwenyekiti wa Chama Cha Tanzania Labour (TLP) Augustine Mrema (Katikati)
akifarijiwa na mkewe (wa kwanza kulia) na Mwenyekiti wa TLP mkoa wa
Arusha. Leonard Makanzo, kwenye Hospitali ya Rufaa ya KCMC jana (Picha na Ally
Sonda, Moshi).*

1 comment:

Anonymous said...

Duh mzee anaonekana ni mgonjwa sana.

Mungu akuponye mzee.

TANZANIA YAIPONGEZA NORWAY KWA KUENDELEA KUUNGA MKONO MAENDELEO

  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, ameipongeza Serikali ya Ufalme wa Norway kwa ...