Monday, June 09, 2008

Bunge kuanza kesho


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa na Mkuu wa mkoa wa Dodoma, William Lukuvi
baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma Juni 9 , 2008 kuhudhuria
kikao cha buge kinachoanza Juni10,2008.(Picha na Ofisi ya Waziri MKuu)

1 comment:

Anonymous said...

HUYO NI SAMWEL SITA SI LUKUVI

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...