Monday, June 09, 2008

Bunge kuanza kesho


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa na Mkuu wa mkoa wa Dodoma, William Lukuvi
baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma Juni 9 , 2008 kuhudhuria
kikao cha buge kinachoanza Juni10,2008.(Picha na Ofisi ya Waziri MKuu)

1 comment:

Anonymous said...

HUYO NI SAMWEL SITA SI LUKUVI

BUNGE LAMTHIBITISHA NDEJEMBI KWA ASILIMIA 100 UMAKAMU WA RAIS.

Waziri Mkuu asema anatosha, kiti kimempata mtu sahihi wa kumsaidia Mheshimiwa Rais. BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo (Ijumaa, Ag...