Sunday, June 22, 2008

Ghorofa laporomoka





Kifusi cha jengo la Ghorofa 10 lililokuwa likijengwa katika mtaa wa Mtendeni linavyonekana baada ya kuporomoka jana pia Waokoaji, wakimbeba mmoja wa majeruhi kati ya wanne walionasa katika jengo moja lillilopo mtaa wa mtaa wa Mtendeni Dar es Salaam jana, baada ya hilokuporomokewa na jengo jipya la Ghorofa 10 lililokuwa kikijengwa.

No comments:

RAIS SAMIA AKUTANA NA WAZEE WA MIKOA YOTE NCHINI, AFUNGUA UKURASA MPYA WA MAZUNGUMZO YA KITAIFA

  Dodoma, Agosti 27, 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana na wazee wa Mkoa wa Dodoma pam...