Sunday, June 22, 2008

Ghorofa laporomoka





Kifusi cha jengo la Gholofa 10 lililokuwa likijengwa katika mtaa wa Mtendeni linavyonekana baada ya kuporomoka jana pia Waokoaji, wakimbeba mmoja wa majeruhi kati ya wanne walionasa katika jingo moja lillilopo mtaa wa mtaa wa Mtendeni Dar es Salaam jana, baada ya hilokuporomokewa na jengo jipya la Gholofa 10 lililokuwa kikijengwa.

No comments: