Sunday, June 22, 2008

Ghorofa laporomoka





Kifusi cha jengo la Ghorofa 10 lililokuwa likijengwa katika mtaa wa Mtendeni linavyonekana baada ya kuporomoka jana pia Waokoaji, wakimbeba mmoja wa majeruhi kati ya wanne walionasa katika jengo moja lillilopo mtaa wa mtaa wa Mtendeni Dar es Salaam jana, baada ya hilokuporomokewa na jengo jipya la Ghorofa 10 lililokuwa kikijengwa.

No comments:

TUTABORESHA BAJETI YA ELIMU – WAZIRI MKUU

▪️Asema Serikali itaimarisha vitengo vya tathmini na ufuatiliaji kila wizara Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea ku...