Sunday, June 22, 2008

Ghorofa laporomoka





Kifusi cha jengo la Ghorofa 10 lililokuwa likijengwa katika mtaa wa Mtendeni linavyonekana baada ya kuporomoka jana pia Waokoaji, wakimbeba mmoja wa majeruhi kati ya wanne walionasa katika jengo moja lillilopo mtaa wa mtaa wa Mtendeni Dar es Salaam jana, baada ya hilokuporomokewa na jengo jipya la Ghorofa 10 lililokuwa kikijengwa.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...