Sunday, June 22, 2008

Ghorofa laporomoka





Kifusi cha jengo la Ghorofa 10 lililokuwa likijengwa katika mtaa wa Mtendeni linavyonekana baada ya kuporomoka jana pia Waokoaji, wakimbeba mmoja wa majeruhi kati ya wanne walionasa katika jengo moja lillilopo mtaa wa mtaa wa Mtendeni Dar es Salaam jana, baada ya hilokuporomokewa na jengo jipya la Ghorofa 10 lililokuwa kikijengwa.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...