Wallahi jitihada kama hizi zingelisambaa Tanzania nzima kwa wakulima kutumia njia za kisasa kama hizi nina uhakika tungekuwa tumepiga hatua kali sana ya maendeleo bila shaka tungefanana na Malaysia na Indonesia lakini hebu nambie kilimo chetu kilivyo noma.
Thursday, June 26, 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
1 comment:
Kuna watu wanathamini sana afya na maisha bora kwetu! Angalia huyu jamaa anachofanya, hangojei tuletewe mbogamboga toka brazil na afrika kusini, yeye anazalisha mwenyewe. Cha kusikitisha ni kwamba dola anazookoa kwenye matumizi yasiyolazima zinaundiwa matumizi mengine mabaya zaidi kwa uchumi wetu na maisha yetu kuwa bora.
Wakati umefika wa kusaidia watu kama hawa waendeleze kilimo chao ili warahisishe maisha yetu. hatuhitaji wawekezaji toka nje kama wanavyotamkwa bungeni, kwani hata hao huwahawaji na mitaji toka kwao bali hukopa kwa kutumia jina la Serikali ya Tanzania! tuwapatie vijana wetu uwezo wa kukopa pia ili waendeleze miundombinu ya mashamba yao.
Post a Comment