Friday, June 20, 2008

Watoto hawa bwana!!!


Hii ndiyo bongo bwana mambo yetu yanakwenda tambarare si mchezo lakini kuna kona zingine mambo hayaendi sawa, maji tatizo na kila kitu ni balaa.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...