Friday, June 20, 2008

Watoto hawa bwana!!!


Hii ndiyo bongo bwana mambo yetu yanakwenda tambarare si mchezo lakini kuna kona zingine mambo hayaendi sawa, maji tatizo na kila kitu ni balaa.

No comments:

WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA BELARUS AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI

  Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Belarus, Mheshimiwa Maxim Ryzhenkov, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia Aprili...