Sunday, June 15, 2008

Mzee Mwinyi kiboko


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi (kulia kwake) wakiwa na baadhi ya washiriki wa safari ya kupanda mlima Kilimanjaro kuanzia geti la Machame, Juni 14,2008 . Matembezi hayo yaliyoanzishwa na Waziri Mkuu yameandaliwa na mgodi wa Dhahabu wa Geita n yamelenga kuchangia mapambani dhidi ya ukumwi.

No comments: