Sunday, June 15, 2008

Mzee Mwinyi kiboko


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi (kulia kwake) wakiwa na baadhi ya washiriki wa safari ya kupanda mlima Kilimanjaro kuanzia geti la Machame, Juni 14,2008 . Matembezi hayo yaliyoanzishwa na Waziri Mkuu yameandaliwa na mgodi wa Dhahabu wa Geita n yamelenga kuchangia mapambani dhidi ya ukumwi.

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...