Sunday, June 15, 2008

Mzee Mwinyi kiboko


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi (kulia kwake) wakiwa na baadhi ya washiriki wa safari ya kupanda mlima Kilimanjaro kuanzia geti la Machame, Juni 14,2008 . Matembezi hayo yaliyoanzishwa na Waziri Mkuu yameandaliwa na mgodi wa Dhahabu wa Geita n yamelenga kuchangia mapambani dhidi ya ukumwi.

No comments:

RC CHALAMILA AELEKEZA KUUNDWA KAMATI MAALUM KUTATUA MGOGORO WA ARDHI SAHARA-MABIBO

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila ameelekeza kuudwa kwa kamati maalum itakayofanyakazi kwa muda wa siku tatu kuanzia julai ...