Sunday, June 08, 2008

Mambo ya Cape verde





Mdau Saleh Ally aliyekuwapo Cape Verde jana wakati pambano la Taifa Stars na Cape Verde kanishushia picha hizi kutoka huko anaisifu nchi hiyo, eeee bwanaa anasema huko mambo yao si ya kawaida ni kama majuu ingawa wapo kidogo kiafrika , halafu hebu cheki mambinti zao utakoma, wanalipa mwanangu si mchezo.

No comments:

KAMISHNA WA UHIFADHI TANAPA AFANYA ZIARA YA KIKAZI KITUO CHA MALIKALE – MTWA MKWAWA, IHINGA, IRINGA

Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), CPA Musa Nassoro Kuji ,  amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Malikale ch...