Sunday, June 08, 2008

Mambo ya Cape verde





Mdau Saleh Ally aliyekuwapo Cape Verde jana wakati pambano la Taifa Stars na Cape Verde kanishushia picha hizi kutoka huko anaisifu nchi hiyo, eeee bwanaa anasema huko mambo yao si ya kawaida ni kama majuu ingawa wapo kidogo kiafrika , halafu hebu cheki mambinti zao utakoma, wanalipa mwanangu si mchezo.

No comments:

RAIS SAMIA AMTEMBELEA PACOME, AMPATIA POLE NA KUMTAKIA AFYA NJEMA

  Dar es Salaam – Mchezaji wa klabu ya Yanga, Pacome Zouzoua , amepata faraja ya kipekee baada ya kutembelewa na Rais wa Jamhuri ya Muungan...