Sunday, June 08, 2008

Mambo ya Cape verde





Mdau Saleh Ally aliyekuwapo Cape Verde jana wakati pambano la Taifa Stars na Cape Verde kanishushia picha hizi kutoka huko anaisifu nchi hiyo, eeee bwanaa anasema huko mambo yao si ya kawaida ni kama majuu ingawa wapo kidogo kiafrika , halafu hebu cheki mambinti zao utakoma, wanalipa mwanangu si mchezo.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...