Mdau Saleh Ally aliyekuwapo Cape Verde jana wakati pambano la Taifa Stars na Cape Verde kanishushia picha hizi kutoka huko anaisifu nchi hiyo, eeee bwanaa anasema huko mambo yao si ya kawaida ni kama majuu ingawa wapo kidogo kiafrika , halafu hebu cheki mambinti zao utakoma, wanalipa mwanangu si mchezo.
Sunday, June 08, 2008
Mambo ya Cape verde
Mdau Saleh Ally aliyekuwapo Cape Verde jana wakati pambano la Taifa Stars na Cape Verde kanishushia picha hizi kutoka huko anaisifu nchi hiyo, eeee bwanaa anasema huko mambo yao si ya kawaida ni kama majuu ingawa wapo kidogo kiafrika , halafu hebu cheki mambinti zao utakoma, wanalipa mwanangu si mchezo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
TANZANIA YAIPONGEZA NORWAY KWA KUENDELEA KUUNGA MKONO MAENDELEO
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, ameipongeza Serikali ya Ufalme wa Norway kwa ...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment