Monday, June 09, 2008

Mambo ya Cape Verde







Ndani na nje ya uwanja wa taifa wa Cape Verde mambo yalikuwa hivi hebu chei huyu dada alivyovaa kitaiti ndiyo maana inawezekana timu yetu ya taifa ilifungwa kwasababu ya mvuto wa hawa mabinti, hebu cheki hapo beach wadada walivyojimwaya kisha ucheki uwanjani ndani na timu zote mbili yaani Taifa Starrs na ile ya Cape Verde. Picha za Saleh Ally.

No comments:

WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA BELARUS AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI

  Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Belarus, Mheshimiwa Maxim Ryzhenkov, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia Aprili...