Monday, June 09, 2008

Mambo ya Cape Verde







Ndani na nje ya uwanja wa taifa wa Cape Verde mambo yalikuwa hivi hebu chei huyu dada alivyovaa kitaiti ndiyo maana inawezekana timu yetu ya taifa ilifungwa kwasababu ya mvuto wa hawa mabinti, hebu cheki hapo beach wadada walivyojimwaya kisha ucheki uwanjani ndani na timu zote mbili yaani Taifa Starrs na ile ya Cape Verde. Picha za Saleh Ally.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...