Monday, June 09, 2008

Mambo ya Cape Verde







Ndani na nje ya uwanja wa taifa wa Cape Verde mambo yalikuwa hivi hebu chei huyu dada alivyovaa kitaiti ndiyo maana inawezekana timu yetu ya taifa ilifungwa kwasababu ya mvuto wa hawa mabinti, hebu cheki hapo beach wadada walivyojimwaya kisha ucheki uwanjani ndani na timu zote mbili yaani Taifa Starrs na ile ya Cape Verde. Picha za Saleh Ally.

No comments:

RC CHALAMILA AELEKEZA KUUNDWA KAMATI MAALUM KUTATUA MGOGORO WA ARDHI SAHARA-MABIBO

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila ameelekeza kuudwa kwa kamati maalum itakayofanyakazi kwa muda wa siku tatu kuanzia julai ...