Monday, June 09, 2008

Mambo ya Cape Verde







Ndani na nje ya uwanja wa taifa wa Cape Verde mambo yalikuwa hivi hebu chei huyu dada alivyovaa kitaiti ndiyo maana inawezekana timu yetu ya taifa ilifungwa kwasababu ya mvuto wa hawa mabinti, hebu cheki hapo beach wadada walivyojimwaya kisha ucheki uwanjani ndani na timu zote mbili yaani Taifa Starrs na ile ya Cape Verde. Picha za Saleh Ally.

No comments:

RAIS SAMIA AKUTANA NA WAZEE WA MIKOA YOTE NCHINI, AFUNGUA UKURASA MPYA WA MAZUNGUMZO YA KITAIFA

  Dodoma, Agosti 27, 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana na wazee wa Mkoa wa Dodoma pam...