Huu ndo mwonekano mpya wa Hoteli ya Holiday Inn pale karibu na International house nadhani sasa unaweza kuona jina hilo jipya ikimaanisha jua la kusi. Picha hii ni ya mdau Fedelis Felix aliyoinasa juzi wakati wakiizindua upya, sijui ni mtindo ule ule wa ukwepaji kodi au ni mambo ya product development.
Sunday, June 01, 2008
Holiday Inn Hotel
Huu ndo mwonekano mpya wa Hoteli ya Holiday Inn pale karibu na International house nadhani sasa unaweza kuona jina hilo jipya ikimaanisha jua la kusi. Picha hii ni ya mdau Fedelis Felix aliyoinasa juzi wakati wakiizindua upya, sijui ni mtindo ule ule wa ukwepaji kodi au ni mambo ya product development.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA AZINDUA TUME YA UCHUNGUZI KWA AJILI YA KUIMARISHA AMANI, HAKI NA UWAJIBIKAJI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Wajumbe wa Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Wahusi...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Nadhani mtakumbuka kibwagizo maarufu katika TV ambacho kinaimbwa perupe pepero perupe pepero hawa ni vijana wa Sisi Tambala waliokuwapo kati...
-
Mdau Julius Samwel hivi karibuni alikuwa huko Mwanza na hizi ndizo alizofanikiwa kutumegea, wadau hebu someni hicho kibao mniambie kuna nini...
No comments:
Post a Comment