Thursday, June 26, 2008

Picha mpya ya Rais


Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Kassim Mpenda, akiwanyesha jana waandishi wa habari picha mpya ya Rais iliyopo kushoto itakayotumika rasmi kitaifa na kulia ni ya zamani ambayo haitatumika tena.

No comments:

  ‎
Bodi ya Kitaaluma ya Ununuzi na Ugavi (PSPTB), inayofanya kazi chini ya Wizara ya Fedha, imetoa onyo kali kwa watahiniwa wote wa fani ...