Thursday, June 26, 2008

Picha mpya ya Rais


Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Kassim Mpenda, akiwanyesha jana waandishi wa habari picha mpya ya Rais iliyopo kushoto itakayotumika rasmi kitaifa na kulia ni ya zamani ambayo haitatumika tena.

No comments:

RAIS SAMIA AKUTANA NA WAZEE WA MIKOA YOTE NCHINI, AFUNGUA UKURASA MPYA WA MAZUNGUMZO YA KITAIFA

  Dodoma, Agosti 27, 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana na wazee wa Mkoa wa Dodoma pam...