Kuna huyu jamaa kaibuka na huu utani aisee eti kuna vyuo kumi vimefunguliwa maeneo
mbalimbali nchini, vikitoa kozi mbalimbali na kubeba majina ya watu maarufu
kama ifuatavyo:
- Benjamin Mkapa Institute of Political Entrepreneurship and Openness
- David Balali School of Central Banking and Foreign Debt Management
- Andrew Chenge College of Applied Contractual Law
- Ali Hassan Mwinyi University of Inflation Control
- Karamagi Institute of Mining Licensing and Administration of Mining
Contracts
- Zakia Meghji college of Tourism and Protection of Public Funds and
Natural Resources
- Ditopile Mzuzuri School of Conveyance and Welfare of Public Drivers
- Mwalimu Nyerere University College of Privatization
- Mkono Intitute of Legal Fraud Prevention
- Lowassa School of Prevention of Fake Companies
Na kwamba fomu za Kujiunga zinapatikana Bank M.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
TANZANIA YAIPONGEZA NORWAY KWA KUENDELEA KUUNGA MKONO MAENDELEO
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, ameipongeza Serikali ya Ufalme wa Norway kwa ...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
1 comment:
duh inachekesha sana vyuo vya mafisadi si mchezo.
Ms Bennett
Post a Comment