Kuna huyu jamaa kaibuka na huu utani aisee eti kuna vyuo kumi vimefunguliwa maeneo
mbalimbali nchini, vikitoa kozi mbalimbali na kubeba majina ya watu maarufu
kama ifuatavyo:
- Benjamin Mkapa Institute of Political Entrepreneurship and Openness
- David Balali School of Central Banking and Foreign Debt Management
- Andrew Chenge College of Applied Contractual Law
- Ali Hassan Mwinyi University of Inflation Control
- Karamagi Institute of Mining Licensing and Administration of Mining
Contracts
- Zakia Meghji college of Tourism and Protection of Public Funds and
Natural Resources
- Ditopile Mzuzuri School of Conveyance and Welfare of Public Drivers
- Mwalimu Nyerere University College of Privatization
- Mkono Intitute of Legal Fraud Prevention
- Lowassa School of Prevention of Fake Companies
Na kwamba fomu za Kujiunga zinapatikana Bank M.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Bodi ya Kitaaluma ya Ununuzi na Ugavi (PSPTB), inayofanya kazi chini ya Wizara ya Fedha, imetoa onyo kali kwa watahiniwa wote wa fani ...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. . Picha na Jube Tranqu...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
1 comment:
duh inachekesha sana vyuo vya mafisadi si mchezo.
Ms Bennett
Post a Comment