Tuesday, June 10, 2008

cheki utani huu

Kuna huyu jamaa kaibuka na huu utani aisee eti kuna vyuo kumi vimefunguliwa maeneo
mbalimbali nchini, vikitoa kozi mbalimbali na kubeba majina ya watu maarufu
kama ifuatavyo:
- Benjamin Mkapa Institute of Political Entrepreneurship and Openness
- David Balali School of Central Banking and Foreign Debt Management
- Andrew Chenge College of Applied Contractual Law
- Ali Hassan Mwinyi University of Inflation Control
- Karamagi Institute of Mining Licensing and Administration of Mining
Contracts
- Zakia Meghji college of Tourism and Protection of Public Funds and
Natural Resources
- Ditopile Mzuzuri School of Conveyance and Welfare of Public Drivers
- Mwalimu Nyerere University College of Privatization
- Mkono Intitute of Legal Fraud Prevention
- Lowassa School of Prevention of Fake Companies

Na kwamba fomu za Kujiunga zinapatikana Bank M.

1 comment:

Anonymous said...

duh inachekesha sana vyuo vya mafisadi si mchezo.
Ms Bennett

WAZIRI WA FEDHA: BAJETI YA 2026/27 KUIJENGA TANZANIA YA DIRA YA 2050

  Na Eva Valerian, WF, Dodoma Serikali imesema Bajeti Kuu ya mwaka wa fedha 2026/27 ni ya kipekee kwa kuwa ndiyo bajeti ya kwanza itakayot...