Sunday, June 08, 2008

Chriss Tucker

Picha ya kwanza ni mcheza filamu maarufu wa nchini Marekani, Chris tucker
akiwa na mjumbe wa bodi ya Ngorongoro, Irvis Musiba wakitama wanyama aina ya
viboko waliopo katika bwawa ndani ya creta ya ngorongoro juzi. Picha na Mussa Juma.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...