Sunday, June 08, 2008

Chriss Tucker

Picha ya kwanza ni mcheza filamu maarufu wa nchini Marekani, Chris tucker
akiwa na mjumbe wa bodi ya Ngorongoro, Irvis Musiba wakitama wanyama aina ya
viboko waliopo katika bwawa ndani ya creta ya ngorongoro juzi. Picha na Mussa Juma.

No comments:

WAZIRI WA FEDHA: BAJETI YA 2026/27 KUIJENGA TANZANIA YA DIRA YA 2050

  Na Eva Valerian, WF, Dodoma Serikali imesema Bajeti Kuu ya mwaka wa fedha 2026/27 ni ya kipekee kwa kuwa ndiyo bajeti ya kwanza itakayot...