Sunday, June 08, 2008

Chriss Tucker

Picha ya kwanza ni mcheza filamu maarufu wa nchini Marekani, Chris tucker
akiwa na mjumbe wa bodi ya Ngorongoro, Irvis Musiba wakitama wanyama aina ya
viboko waliopo katika bwawa ndani ya creta ya ngorongoro juzi. Picha na Mussa Juma.

No comments:

WANANCHI KAHAMA WAMSHUKURU RAIS SAMIA KUWAFIKISHIA UMEME WA REA

  📌Vijiji vyote 246 na Vitongoji 479 Kahama vimefikiwa 📌Shughuli za kiuchumi na kijamii zimeimarika 📌Naibu Waziri Salome awahakikishia vi...