Tuesday, June 10, 2008

Maskini Mrema


Mwenyekiti wa Chama Cha Tanzania Labour (TLP) Augustine Mrema (Katikati)
akifarijiwa na mkewe (wa kwanza kulia) na Mwenyekiti wa TLP mkoa wa
Arusha. Leonard Makanzo, kwenye Hospitali ya Rufaa ya KCMC jana (Picha na Ally
Sonda, Moshi).*

1 comment:

Anonymous said...

Duh mzee anaonekana ni mgonjwa sana.

Mungu akuponye mzee.

BUNGE LAMTHIBITISHA NDEJEMBI KWA ASILIMIA 100 UMAKAMU WA RAIS.

Waziri Mkuu asema anatosha, kiti kimempata mtu sahihi wa kumsaidia Mheshimiwa Rais. BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo (Ijumaa, Ag...