Tuesday, June 10, 2008

Maskini Mrema


Mwenyekiti wa Chama Cha Tanzania Labour (TLP) Augustine Mrema (Katikati)
akifarijiwa na mkewe (wa kwanza kulia) na Mwenyekiti wa TLP mkoa wa
Arusha. Leonard Makanzo, kwenye Hospitali ya Rufaa ya KCMC jana (Picha na Ally
Sonda, Moshi).*

1 comment:

Anonymous said...

Duh mzee anaonekana ni mgonjwa sana.

Mungu akuponye mzee.

WANANCHI KAHAMA WAMSHUKURU RAIS SAMIA KUWAFIKISHIA UMEME WA REA

  📌Vijiji vyote 246 na Vitongoji 479 Kahama vimefikiwa 📌Shughuli za kiuchumi na kijamii zimeimarika 📌Naibu Waziri Salome awahakikishia vi...