Friday, June 06, 2008

Usafiri kafiri

Huyu trafiki anaitwa Kimti ni askari machachari sana, jamaa wa daladala wanadai akikunyaka huyu lazima ukome kuringa hebu cheki hapa anafanya nini kado ya hii daladala. Picha na Deus Mhagale

No comments:

KAMISHNA WA UHIFADHI TANAPA AFANYA ZIARA YA KIKAZI KITUO CHA MALIKALE – MTWA MKWAWA, IHINGA, IRINGA

Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), CPA Musa Nassoro Kuji ,  amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Malikale ch...