Friday, June 06, 2008

Usafiri kafiri

Huyu trafiki anaitwa Kimti ni askari machachari sana, jamaa wa daladala wanadai akikunyaka huyu lazima ukome kuringa hebu cheki hapa anafanya nini kado ya hii daladala. Picha na Deus Mhagale

No comments:

RC CHALAMILA AELEKEZA KUUNDWA KAMATI MAALUM KUTATUA MGOGORO WA ARDHI SAHARA-MABIBO

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila ameelekeza kuudwa kwa kamati maalum itakayofanyakazi kwa muda wa siku tatu kuanzia julai ...