Tuesday, June 03, 2008

Sullivan leo






Mwenyekiti wa Mfuko wa Leon H. Sullivan, Balozi Andrew Young akizungumza kwa nyakati tofauti na Rais Mstaafu wa Nigeria Olesegun Obasanjo, Jakaya Kikwete wa Tanzania wakati wa ufunguzi wa mkutano wa nane wa Sullivan mkoani Arusha juzi Usiku. Picha zingine inaonyesha wajumbe wa mkutano huo wakifuatilia kwa makini. Picha na Edwin Mjwahuzi.


No comments:

RAIS SAMIA AMTEMBELEA PACOME, AMPATIA POLE NA KUMTAKIA AFYA NJEMA

  Dar es Salaam – Mchezaji wa klabu ya Yanga, Pacome Zouzoua , amepata faraja ya kipekee baada ya kutembelewa na Rais wa Jamhuri ya Muungan...