Tuesday, June 03, 2008

Sullivan leo






Mwenyekiti wa Mfuko wa Leon H. Sullivan, Balozi Andrew Young akizungumza kwa nyakati tofauti na Rais Mstaafu wa Nigeria Olesegun Obasanjo, Jakaya Kikwete wa Tanzania wakati wa ufunguzi wa mkutano wa nane wa Sullivan mkoani Arusha juzi Usiku. Picha zingine inaonyesha wajumbe wa mkutano huo wakifuatilia kwa makini. Picha na Edwin Mjwahuzi.


No comments:

RC CHALAMILA AELEKEZA KUUNDWA KAMATI MAALUM KUTATUA MGOGORO WA ARDHI SAHARA-MABIBO

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila ameelekeza kuudwa kwa kamati maalum itakayofanyakazi kwa muda wa siku tatu kuanzia julai ...