Tuesday, June 03, 2008

Sullivan leo






Mwenyekiti wa Mfuko wa Leon H. Sullivan, Balozi Andrew Young akizungumza kwa nyakati tofauti na Rais Mstaafu wa Nigeria Olesegun Obasanjo, Jakaya Kikwete wa Tanzania wakati wa ufunguzi wa mkutano wa nane wa Sullivan mkoani Arusha juzi Usiku. Picha zingine inaonyesha wajumbe wa mkutano huo wakifuatilia kwa makini. Picha na Edwin Mjwahuzi.


No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...