Tuesday, June 03, 2008

Sullivan leo






Mwenyekiti wa Mfuko wa Leon H. Sullivan, Balozi Andrew Young akizungumza kwa nyakati tofauti na Rais Mstaafu wa Nigeria Olesegun Obasanjo, Jakaya Kikwete wa Tanzania wakati wa ufunguzi wa mkutano wa nane wa Sullivan mkoani Arusha juzi Usiku. Picha zingine inaonyesha wajumbe wa mkutano huo wakifuatilia kwa makini. Picha na Edwin Mjwahuzi.


No comments:

TANZANIA YAIPONGEZA NORWAY KWA KUENDELEA KUUNGA MKONO MAENDELEO

  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, ameipongeza Serikali ya Ufalme wa Norway kwa ...