Sunday, June 29, 2008

Werrason anatisha si mchezo








Mwanamuziki nyota kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Ngiama Makanda 'Werrason' akionyesha umahiri wake wa kucheza wakati wa onyesho lake lililofanyika Dar es Salaam juzi Picha zote kwa hisani ya Emmanuel Herman.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...