Sunday, June 29, 2008

Werrason anatisha si mchezo








Mwanamuziki nyota kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Ngiama Makanda 'Werrason' akionyesha umahiri wake wa kucheza wakati wa onyesho lake lililofanyika Dar es Salaam juzi Picha zote kwa hisani ya Emmanuel Herman.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...