Sunday, June 22, 2008

Miss Universe Tanzania


Amanda Ole Sulul Miss Universe TANZANIA 2008 baada ya kufika katika mavazi ya ufukweni huko HoChi Ming City, Vietnam. Amanda Ole Sulul yuko nchini Vietnam akishindana na warembo 80 kutoka nchi mbalimbali duniani kuwania taji la Miss Universe 2008.

No comments:

RC CHALAMILA AELEKEZA KUUNDWA KAMATI MAALUM KUTATUA MGOGORO WA ARDHI SAHARA-MABIBO

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila ameelekeza kuudwa kwa kamati maalum itakayofanyakazi kwa muda wa siku tatu kuanzia julai ...