Sunday, June 22, 2008

Miss Universe Tanzania


Amanda Ole Sulul Miss Universe TANZANIA 2008 baada ya kufika katika mavazi ya ufukweni huko HoChi Ming City, Vietnam. Amanda Ole Sulul yuko nchini Vietnam akishindana na warembo 80 kutoka nchi mbalimbali duniani kuwania taji la Miss Universe 2008.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...