Sunday, June 22, 2008

Miss Universe Tanzania


Amanda Ole Sulul Miss Universe TANZANIA 2008 baada ya kufika katika mavazi ya ufukweni huko HoChi Ming City, Vietnam. Amanda Ole Sulul yuko nchini Vietnam akishindana na warembo 80 kutoka nchi mbalimbali duniani kuwania taji la Miss Universe 2008.

No comments:

  Leo Tarehe 29 Juni, 2025 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Said Shaib Mussa am...