Sunday, June 22, 2008

Miss Universe Tanzania


Amanda Ole Sulul Miss Universe TANZANIA 2008 baada ya kufika katika mavazi ya ufukweni huko HoChi Ming City, Vietnam. Amanda Ole Sulul yuko nchini Vietnam akishindana na warembo 80 kutoka nchi mbalimbali duniani kuwania taji la Miss Universe 2008.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...