Sunday, June 15, 2008

Mwanza tambarare


Mambo ya Mwanza si mchezo sasa kuna majengo makali ile mbaya yanayolifanya jiji la Mwanza kubadilisha sura hili jengo limejengwa kwa ushirikiano na Mfuko wa Pensheni wa Mashirika ya Umma (PPF)

2 comments:

Anonymous said...

Kaka Charahani, nadhani Mwanza huijui vizuri waulize wa mwanza wakuelekeze kuhusu hilo jengo. Kwa kumbukumbu zangu hilo ni jengo chini ya PPF pia kuna jingine la NSSF.

mzee wa mshitu said...

sawa ndugu yangu ni kweli mwanza siijui nashukuru kwa kunielimisha.