Friday, June 27, 2008

Maisha ya Mtanzania halisi


Msichana wa kabila la Wabarbeig wa kitongoji cha Maramboi akiwa
machungaji katika eneo ambalo wametakiwa kuondoka kutokana na serikali ya kijiji
chao cha vilima viwili kulikodisha kwa mwekezaji wa kifaransa En Un Lodge. Picha na mussa juma

No comments: