Sunday, February 10, 2008

Mambo ya Waziri Mkuu Pinda

Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Rehani Pinda (shoto) akibadilishana mawazo na Mbunge wa Viti Maalum Martha Mlata katika sherehe za kumwapisha Waziri Mkuu, Mizengo Pinda zilizofanyika Ikulu ndogo ya Chamwino Dodoma jana
Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na baba wa Waziri Mkuu Mzee Xavery Kayanza Pinda Ikulu ya Chwamino leo mara baada ya JK kumwapisha mwanae kuwa Waziri Mkuu. Katikati ni mama mzazi wa Waziri Mkuu bibi Albetina Kasanga.


Rais Jakaya Kikwete akimwapisha Waziri Mkuu mpya Mizengo Pinda Chamwino.

Waziri Mkuu mpya Pinda akipongezwa na Waziri Mkuu aliyepita kabla yake Lowassa mara baada ya kuapishwa jana Ikulu ndogo ya Chamwino, Dodoma. (Picha zote hizi za http://issamichuzi.blogspot.com

No comments: