Tuesday, February 19, 2008

George Bush aondoka nchini

Eeee Bwana kazi ilikuwa ngmu si mchezo, sasa twaweza kupumua kidogo maana geni mzito ule , ndivyo wanavyoonekana kusema viongozi hawa wa Tanzania.
Msafara wa Bush ukiingia uwanjani kupitia kambi ya Jeshi la anga sijui ni sababu za kiusalama ama utaratibu wa kisasa, tuliozoea tunajua viongozi huingilia geti la mashariki.

Benzi ya Ikulu yetu wamo si mchezo

Dege la Rais Bush wa Marekani likipaa kuelekea Rwanda hiyo ilikuwa mitaa ya saa mbili kasrobo leo hii.


Kwaherini Watanzania, tumeuona ukarimu wenu, ndivyo wanavyoonekana wakisema mama na baba Bush baada ya kusaini mikataba na serikali yetu, yailahi sijui kama kuna usalama, Wamarekani hawana rafiki wa kudumu.


Gari aina ya Cardillac ambalo amelitumia Rais wa Dunia wakati wote akiwamo nchini mpaka anaondoka, si mchezo nadhani ndo hilo atalitumia Rwanda.



Msafara wa rais Joji Kichaka ukiwa unaingia uwanja wa zamani wa ndege ambao kwa uhakika ndo hutumika mahss kwa vingozi.





No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...