Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limesitisha shughuli zake asubuhi hii hadi saa 11 jioni kufuatia uamuzi wa Rais Kikwete kuvunja baraza la mawaziri, uamuzi ambao automatically unaondoa uhalali wa kuwapo kikao cha bunge kutokana na upande wa serikali kutokuwapo
Akizungumza asubuhi hii Spika wa bunge hilo Samwel Sitta alisema ameamua kuchukua uamuzi huo kutoaka na kikao hicho kukosa upande wa serikali, hivyio kwa mujibu wa kanuni za bunge na taratibu zingine kikao hicho hakiwezi kufanyika.
"Nimepata taarifa kutoka kwa Rais Kikwete jana jioni akinieleza nia yake ya kuvunja bunge na kukubali, maombi ya mawaziri watatu kujiuzulu,"alisema Sitta.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na S...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Nadhani mtakumbuka kibwagizo maarufu katika TV ambacho kinaimbwa perupe pepero perupe pepero hawa ni vijana wa Sisi Tambala waliokuwapo kati...
No comments:
Post a Comment