Thursday, February 07, 2008

Mama Lowassa leo


Mke wa waziri Mkuu Edward Lowassa, Regina Lowassa akiwa katika hali ya majonzi leo hii ndani ya ukumbi wa bunge mjini dodoma muda mfupi baaada ya waziri mkuu Edward lowassa kutangaza azma yake ya kutaka kujiuzulu wadhifa huo mapema leo asubuhi. (Picha ya Edwin Mjwahuzi aliyepo Dodoma)

2 comments:

Anonymous said...

Kwa nini analia! Anadhani atavuliwa dhahabu zake?

Huko watoto wadogo wanakufa kwa kukosa dawa nyie mnakula maraha. Haya tuone!

Anonymous said...

Mkuu nimepita kwako na kuchota ujuzi kidogo, naomba nimwagie e-mail yako nikutumie picha zaidi
salaam haki.yako@gmail.com

MHANDISI SEFF AKAGUA UJENZI WA BARABARA ZA UWANJA WA AFCON ARUSHA

#Ataka kazi zikamilike ifikapo Mei 2027 Arusha Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mhandisi Victor Seff amefa...