Friday, February 15, 2008

Bush welcome to Tanzania

Jamaaa hawa waliamua kuchanachana bendera
Hawa walikuwa na uchungu ile mbaya

Hapa wanakaribia kuingia Jangwani
Waandamanaji wa kiislamu kibao wakimkaribisha Bush kwa staili ya aina yake, cheki hapa watu kibao



Walikuwapo pia vijana, vibabu na watu wengine kibao tuu na walitembea umbali mrefu sana.





Kina mama pia hawakubakli nyuma






Oyaaaa huyu Bush vipi, ndivyo wanavyoonekana kusema waandamanaji hawa.




No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...