Friday, February 15, 2008

Bush welcome to Tanzania

Jamaaa hawa waliamua kuchanachana bendera
Hawa walikuwa na uchungu ile mbaya

Hapa wanakaribia kuingia Jangwani
Waandamanaji wa kiislamu kibao wakimkaribisha Bush kwa staili ya aina yake, cheki hapa watu kibao



Walikuwapo pia vijana, vibabu na watu wengine kibao tuu na walitembea umbali mrefu sana.





Kina mama pia hawakubakli nyuma






Oyaaaa huyu Bush vipi, ndivyo wanavyoonekana kusema waandamanaji hawa.




No comments:

MAJALIWA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA TEWW

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Oktoba 25, 2025 ni mgeni rasmi katika kongamano la kilele cha maadhimisho ya miaka 50 ya Taasisi ya Elimu y...