Mzee wa Mshitu
Friday, February 15, 2008
Bush welcome to Tanzania
Jamaaa hawa waliamua kuchanachana bendera
Hawa walikuwa na uchungu ile mbaya
Hapa wanakaribia kuingia Jangwani
Waandamanaji wa kiislamu kibao wakimkaribisha Bush kwa staili ya aina yake, cheki hapa watu kibao
Walikuwapo pia vijana, vibabu na watu wengine kibao tuu na walitembea umbali mrefu sana.
Kina mama pia hawakubakli nyuma
Oyaaaa huyu Bush vipi, ndivyo wanavyoonekana kusema waandamanaji hawa.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment