Baraza jipya la mawaziri wa Tanzania litaapishwa Jumatatu mchana na kisha mawaziri hao kuapishwa Jumatano asubuhi hapo hapo Dodoma.
Taarifa iliyotolewa na Spika wa Bunge la Tanzania Samwel Sitta zinasema kuwa mawaziri hao wataapishwa Jumatatu na kuapishwa Jumatano.
"Taarifa nilizozipata za uhakika leo hii kutoka katika vyanzo vya kuaminika kabisa vya habari ni kwamba baraza la mawaziri jipya litatangazwa Jumatatu na kuapishwa Jumatano ... tafrija ya kumpongeza ninavyojua kwa taratibu za mawaziri wakuu hawa huwa zinalipiwa binafsi hivyo kazi kwake,"alisema Sitta.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
KAMISHNA WA UHIFADHI TANAPA AFANYA ZIARA YA KIKAZI KITUO CHA MALIKALE – MTWA MKWAWA, IHINGA, IRINGA
Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), CPA Musa Nassoro Kuji , amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Malikale ch...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
No comments:
Post a Comment