Baraza jipya la mawaziri wa Tanzania litaapishwa Jumatatu mchana na kisha mawaziri hao kuapishwa Jumatano asubuhi hapo hapo Dodoma.
Taarifa iliyotolewa na Spika wa Bunge la Tanzania Samwel Sitta zinasema kuwa mawaziri hao wataapishwa Jumatatu na kuapishwa Jumatano.
"Taarifa nilizozipata za uhakika leo hii kutoka katika vyanzo vya kuaminika kabisa vya habari ni kwamba baraza la mawaziri jipya litatangazwa Jumatatu na kuapishwa Jumatano ... tafrija ya kumpongeza ninavyojua kwa taratibu za mawaziri wakuu hawa huwa zinalipiwa binafsi hivyo kazi kwake,"alisema Sitta.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na S...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Nadhani mtakumbuka kibwagizo maarufu katika TV ambacho kinaimbwa perupe pepero perupe pepero hawa ni vijana wa Sisi Tambala waliokuwapo kati...
No comments:
Post a Comment