Baraza jipya la mawaziri wa Tanzania litaapishwa Jumatatu mchana na kisha mawaziri hao kuapishwa Jumatano asubuhi hapo hapo Dodoma.
Taarifa iliyotolewa na Spika wa Bunge la Tanzania Samwel Sitta zinasema kuwa mawaziri hao wataapishwa Jumatatu na kuapishwa Jumatano.
"Taarifa nilizozipata za uhakika leo hii kutoka katika vyanzo vya kuaminika kabisa vya habari ni kwamba baraza la mawaziri jipya litatangazwa Jumatatu na kuapishwa Jumatano ... tafrija ya kumpongeza ninavyojua kwa taratibu za mawaziri wakuu hawa huwa zinalipiwa binafsi hivyo kazi kwake,"alisema Sitta.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MAJALIWA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA TEWW
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Oktoba 25, 2025 ni mgeni rasmi katika kongamano la kilele cha maadhimisho ya miaka 50 ya Taasisi ya Elimu y...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment