Taarifa tulizo nazo hadi sasa ni kwamba Rais Jakaya Kikwete atatangaza baraza la mawaziri kesho saa nne asubuhi, badala ya leo kutokana na sababu mbalimbali, hali iinayofanya kuwepo kwa hali ya tension kubwa kwa jamii.
Taarifa zisizo rasmi ambazo hazijathibitishwa zinadai kuwa kuahirishwa huko kunatokana na Rais Kikwete kuteua baadhi ya mawaziri kutoka ndani ya chama ambao baadhi wamedaiwa kukataa nyadhifa.
Hata hivyo uvumi mwingine uliokuwa umeenea jana kiasi cha kusababisha tafrani miongoni mwa baadhi ya wananchi na hata wanachama wa vyama vya upinzani na hata CCm ni zille zilizodai kuwa Rais aliteua mawaziri wanne kutoka kambi ya upinzani, ambao walikuwa wapewe nyadhifa katika wizara nyeti.
Lakini taarifa zilizopatikana baadaye zilipingana na taarifa hizo na hakuna hata mmoja aliyethibitisha si viongozi wa vyama vya upinzani na hata wale wa chama cha mapinduzi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI
Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment