Jamani eeehhh hivi kwanini kunakuwapo kusitasita kutangazwa kwa baraza la mawaziri hivi sasa, hivi ni kwasababu suala ni nyeti au ni kwasababu kuna kuna kitu kingine. Tunaanza kuona trend inabadilika hapa huku huyu akimsifia yule na yule akitumia diplomasia kumtimua mwingine, lakini ukweli ni kwamba haya madudu ya Richmond yana mambo mengi, namuonea huruma sana Rais sababu yupo katika wakati mgumu, kwa kuwawajibisha marafiki zake waliomsaidia kuingia madarakani. (Picha za Edwin Michuzi)
Tuesday, February 12, 2008
Kitendawili
Jamani eeehhh hivi kwanini kunakuwapo kusitasita kutangazwa kwa baraza la mawaziri hivi sasa, hivi ni kwasababu suala ni nyeti au ni kwasababu kuna kuna kitu kingine. Tunaanza kuona trend inabadilika hapa huku huyu akimsifia yule na yule akitumia diplomasia kumtimua mwingine, lakini ukweli ni kwamba haya madudu ya Richmond yana mambo mengi, namuonea huruma sana Rais sababu yupo katika wakati mgumu, kwa kuwawajibisha marafiki zake waliomsaidia kuingia madarakani. (Picha za Edwin Michuzi)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
KAMISHNA WA UHIFADHI TANAPA AFANYA ZIARA YA KIKAZI KITUO CHA MALIKALE – MTWA MKWAWA, IHINGA, IRINGA
Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), CPA Musa Nassoro Kuji , amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Malikale ch...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...


No comments:
Post a Comment