Tuesday, February 12, 2008

Kitendawili








Jamani eeehhh hivi kwanini kunakuwapo kusitasita kutangazwa kwa baraza la mawaziri hivi sasa, hivi ni kwasababu suala ni nyeti au ni kwasababu kuna kuna kitu kingine. Tunaanza kuona trend inabadilika hapa huku huyu akimsifia yule na yule akitumia diplomasia kumtimua mwingine, lakini ukweli ni kwamba haya madudu ya Richmond yana mambo mengi, namuonea huruma sana Rais sababu yupo katika wakati mgumu, kwa kuwawajibisha marafiki zake waliomsaidia kuingia madarakani. (Picha za Edwin Michuzi)

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...