Jamani eeehhh hivi kwanini kunakuwapo kusitasita kutangazwa kwa baraza la mawaziri hivi sasa, hivi ni kwasababu suala ni nyeti au ni kwasababu kuna kuna kitu kingine. Tunaanza kuona trend inabadilika hapa huku huyu akimsifia yule na yule akitumia diplomasia kumtimua mwingine, lakini ukweli ni kwamba haya madudu ya Richmond yana mambo mengi, namuonea huruma sana Rais sababu yupo katika wakati mgumu, kwa kuwawajibisha marafiki zake waliomsaidia kuingia madarakani. (Picha za Edwin Michuzi)
Tuesday, February 12, 2008
Kitendawili
Jamani eeehhh hivi kwanini kunakuwapo kusitasita kutangazwa kwa baraza la mawaziri hivi sasa, hivi ni kwasababu suala ni nyeti au ni kwasababu kuna kuna kitu kingine. Tunaanza kuona trend inabadilika hapa huku huyu akimsifia yule na yule akitumia diplomasia kumtimua mwingine, lakini ukweli ni kwamba haya madudu ya Richmond yana mambo mengi, namuonea huruma sana Rais sababu yupo katika wakati mgumu, kwa kuwawajibisha marafiki zake waliomsaidia kuingia madarakani. (Picha za Edwin Michuzi)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment