Friday, February 08, 2008

Rais Kikwete avunja baraza la mawaziri

BREAKING NYUUUUUZ!!

Rais Jakaya Kikwete amekubali ombi la aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa la kujiuzulu na pia amelivunja Baraza la Mawaziri.

Taarifa zilinukuliwa katika takribani vyombo vyote vya habari nchini leo znasema kuwa Rais amefikia uamuzi huo baada ya kutafakari mambo kadhaa ikiwamo kujiuzulu kwa mawaziri watatu.

JK aanatarajia kumwajiri Waziri Mkuu mpya leo hii na kumuapisha Jumapili huko Chamwino, kabla ya kutangaza baraza jipya la mawaziri kesho

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...