Friday, February 08, 2008

Rais Kikwete avunja baraza la mawaziri

BREAKING NYUUUUUZ!!

Rais Jakaya Kikwete amekubali ombi la aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa la kujiuzulu na pia amelivunja Baraza la Mawaziri.

Taarifa zilinukuliwa katika takribani vyombo vyote vya habari nchini leo znasema kuwa Rais amefikia uamuzi huo baada ya kutafakari mambo kadhaa ikiwamo kujiuzulu kwa mawaziri watatu.

JK aanatarajia kumwajiri Waziri Mkuu mpya leo hii na kumuapisha Jumapili huko Chamwino, kabla ya kutangaza baraza jipya la mawaziri kesho

No comments:

TANZANIA YAIPONGEZA NORWAY KWA KUENDELEA KUUNGA MKONO MAENDELEO

  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, ameipongeza Serikali ya Ufalme wa Norway kwa ...