Wednesday, February 13, 2008

Baraza Jipya la Mawaziri



Baraza jipya la mawaziri

Waziri Lawrence Masha akiapa

Waziri John Magufuli akiapa


Mambo ya kiapo bwana magumu kichizi, Wazri Dk Diodorus Kamala alisahau kukabidhiwa katiba mara baada ya kuapa, kituko chenyewe kilianza hivi aifika kwa rais akashika biblia aaapa na mara baada ya kuapa akatia saini kiapo kisha akampa mkono rais , akageuka na kutimua kabla hajapewa katiba.



Waziri asha naye akafanya kituko eti akaapa akitumia kiswaili chake cha kimarekani, lakini cha ajabu alipomaliza akasahau kusema ewe Mungu nisaidie na akataka kuondoka, lakini wote wawili waliapishwa kabla ya kuondoka na wakatimiza tartibu zooote mambo ya kiapo hayo ndugu zangu. Picha ya Father Kidevu.


No comments:

πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΊπŸ‡¬ DIPLOMASIA NA USHIRIKIANO WA TANZANIA–UGANDA WAZIDI KUIMARIKA

Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni, amewasili katika Viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam leo, tarehe 06 Agosti 2026, ...