Wednesday, February 13, 2008

Baraza Jipya la Mawaziri



Baraza jipya la mawaziri

Waziri Lawrence Masha akiapa

Waziri John Magufuli akiapa


Mambo ya kiapo bwana magumu kichizi, Wazri Dk Diodorus Kamala alisahau kukabidhiwa katiba mara baada ya kuapa, kituko chenyewe kilianza hivi aifika kwa rais akashika biblia aaapa na mara baada ya kuapa akatia saini kiapo kisha akampa mkono rais , akageuka na kutimua kabla hajapewa katiba.



Waziri asha naye akafanya kituko eti akaapa akitumia kiswaili chake cha kimarekani, lakini cha ajabu alipomaliza akasahau kusema ewe Mungu nisaidie na akataka kuondoka, lakini wote wawili waliapishwa kabla ya kuondoka na wakatimiza tartibu zooote mambo ya kiapo hayo ndugu zangu. Picha ya Father Kidevu.


No comments:

KASI YA UJENZI WA RELI YA SGR IMEONGEZEKA – PROF. MBARAWA

  Wahudumu wa ndani (Train crew) wa shirika la reli Tanzania (TRC) upande wa Standard Gauge Railway (SGR) wamehudhuria Bungeni Jijini Dodoma...