WAKUU wa Vyuo Vikuu vya Umma nchini wamelaani vurugu zilizofanywa na wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam na kusababisha kifo cha mwanafunzi mmoja na kuazimia kuwa watakaobainika wafukuzwe, wasiruhusiwa kusoma kwenye chuo chote nchini wala kupewa mkopo na serikali.
Sambamba na hilo, wakuu hao wametaka wanafunzi wote watakaopatikana na hatia ya kuhusika na vurugu hizo wasimamishwe kuendelea na chuo na kutoruhusiwa kuendelea na masomo katika chuo chochote cha umma nchini, pamoja na kutolewa katika mpango wa serikali wa kuwakopesha wanafunzi wa vyuo vikuu nchini.
Vurugu hizo zilizofanyika Ijumaa usiku pamoja na mambo mengine wanafunzi hao sehemu ya Mlimani, walivamia nyumba ya Makamu wa Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Rwekaza Mukandala, na kuvunja geti wakishinikiza wapatiwe maji.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI
Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment