Monday, February 04, 2008

Usafiri wa Treni





Baadhi ya abiria wanaosafiri na gari moshi ya reli ya kati wakiwa wanaingia ndani ya behewa kwaajili ya kuanza safari yao kurejea bara, usafiri huo tangu urejee umekuwa katika hali ya kusuasua.

No comments:

WAZIRI MASAUNI ASHUHUDIA NUSU FAINALI YA KOMBE LA MAPINDUZI ZANZIBAR

Zanzibar — Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Hamad Yussuf Masauni , ameshuhudia mchezo wa kwanza wa nusu fain...