Monday, February 04, 2008

Usafiri wa Treni





Baadhi ya abiria wanaosafiri na gari moshi ya reli ya kati wakiwa wanaingia ndani ya behewa kwaajili ya kuanza safari yao kurejea bara, usafiri huo tangu urejee umekuwa katika hali ya kusuasua.

No comments:

DKT. ABBASI AKAGUA MIRADI YA UTALII PORI LA AKIBA LA PANDE, ATOA MAAGIZO YA KUKAMILIKA KABLA YA AFCON 2027

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, leo Julai 23, 2026, ametembelea Pori la Akiba la Pande jijini Dar es Salaa...