Monday, February 04, 2008

Usafiri wa Treni





Baadhi ya abiria wanaosafiri na gari moshi ya reli ya kati wakiwa wanaingia ndani ya behewa kwaajili ya kuanza safari yao kurejea bara, usafiri huo tangu urejee umekuwa katika hali ya kusuasua.

No comments:

KAMISHNA WA UHIFADHI TANAPA AFANYA ZIARA YA KIKAZI KITUO CHA MALIKALE – MTWA MKWAWA, IHINGA, IRINGA

Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), CPA Musa Nassoro Kuji ,  amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Malikale ch...