Monday, February 04, 2008

Usafiri wa Treni





Baadhi ya abiria wanaosafiri na gari moshi ya reli ya kati wakiwa wanaingia ndani ya behewa kwaajili ya kuanza safari yao kurejea bara, usafiri huo tangu urejee umekuwa katika hali ya kusuasua.

No comments:

Msajili wa Hazina, Fitch Ratings watathmini mageuzi ya taasisi za umma

Na Mwandishi wa OTR Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) Jumanne, Agosti 11, 2026, ilifanya mazungumzo na  Fitch Ratings Ltd  amb...