Sunday, February 24, 2008

Matokeo ya Kiteto njiani

Kwa mujibu wa habari tumlizozipata hivi punde Matokeo ya jimbo la uchaguzi Kiteto yameanza kutoka ambapo CCM inagaragazwa ile mbaya, kwa kuanzia tu katika vituo kadhaa Chadema iko juu, huko Kibaya na kwingineko any way tusubiri tutakuwa tukiwaleteeni matokeo stay tuned


Jamaaa wakiwa wamejirundika katika lorri



Wananchi wakijipanga kwenda kupiga foleni leo asubuhi

Hawa wanapiga kura katika kituo

Wengine hawa waliamua kuleta vurugu tuuu lakini lilizimwa

No comments:

KASI YA UJENZI WA RELI YA SGR IMEONGEZEKA – PROF. MBARAWA

  Wahudumu wa ndani (Train crew) wa shirika la reli Tanzania (TRC) upande wa Standard Gauge Railway (SGR) wamehudhuria Bungeni Jijini Dodoma...