Sunday, February 24, 2008

Matokeo ya Kiteto njiani

Kwa mujibu wa habari tumlizozipata hivi punde Matokeo ya jimbo la uchaguzi Kiteto yameanza kutoka ambapo CCM inagaragazwa ile mbaya, kwa kuanzia tu katika vituo kadhaa Chadema iko juu, huko Kibaya na kwingineko any way tusubiri tutakuwa tukiwaleteeni matokeo stay tuned


Jamaaa wakiwa wamejirundika katika lorri



Wananchi wakijipanga kwenda kupiga foleni leo asubuhi

Hawa wanapiga kura katika kituo

Wengine hawa waliamua kuleta vurugu tuuu lakini lilizimwa

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...