Sunday, February 24, 2008

Matokeo ya Kiteto njiani

Kwa mujibu wa habari tumlizozipata hivi punde Matokeo ya jimbo la uchaguzi Kiteto yameanza kutoka ambapo CCM inagaragazwa ile mbaya, kwa kuanzia tu katika vituo kadhaa Chadema iko juu, huko Kibaya na kwingineko any way tusubiri tutakuwa tukiwaleteeni matokeo stay tuned


Jamaaa wakiwa wamejirundika katika lorri



Wananchi wakijipanga kwenda kupiga foleni leo asubuhi

Hawa wanapiga kura katika kituo

Wengine hawa waliamua kuleta vurugu tuuu lakini lilizimwa

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...