Tuesday, February 12, 2008

Baraza la Mawaziri kutajwa jioni

DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail:
ikulumawasiliano@yahoo.com
press@ikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425


PRESIDENT’S OFFICE,
THE STATE HOUSE,
P.O. BOX 9120,
DAR ES SALAAM.
Tanzania.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete anatarajia kutangaza Baraza la Mawaziri leo (12/02/2008) saa 9.00 alasiri katika ukumbi wa TAMISEMI, Dodoma, badala ya saa 4.00 asubuhi kama ilivyotangazwa awali.

Wahariri/Waandishi/Wapiga picha wawe wamewasili ukumbini saa 8.00 Mchana na wale wenye waandishi wao Dodoma wawaeleze vema ili wazingatie muda.
Ahsante na karibuni.

Kurugenzi ya Mawasiliano,
Ikulu, Chamwino
DODOMA.
12/02/2008

1 comment:

Anonymous said...

Hii kweli ni aibu. Yaani ofisi ya rais in email ya yahoo.

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...