Tuesday, February 12, 2008

Baraza la Mawaziri kutajwa jioni

DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail:
ikulumawasiliano@yahoo.com
press@ikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425


PRESIDENT’S OFFICE,
THE STATE HOUSE,
P.O. BOX 9120,
DAR ES SALAAM.
Tanzania.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete anatarajia kutangaza Baraza la Mawaziri leo (12/02/2008) saa 9.00 alasiri katika ukumbi wa TAMISEMI, Dodoma, badala ya saa 4.00 asubuhi kama ilivyotangazwa awali.

Wahariri/Waandishi/Wapiga picha wawe wamewasili ukumbini saa 8.00 Mchana na wale wenye waandishi wao Dodoma wawaeleze vema ili wazingatie muda.
Ahsante na karibuni.

Kurugenzi ya Mawasiliano,
Ikulu, Chamwino
DODOMA.
12/02/2008

1 comment:

Anonymous said...

Hii kweli ni aibu. Yaani ofisi ya rais in email ya yahoo.

HESLB NA ADAPT IT ZAINGIA MAKUBALIANO RASMI

Dar es Salaam, Jumatatu, Disemba 08, 2025 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeingia katika hatua nyingine ya mageuzi ya k...