Sunday, February 24, 2008

Leo ni Leo Kiteto


Tambwe Hizza akifanya mambo

Wana mgambo wakiwa tayari kudhibiti vurugu.

FFU wamemwagwa kibao jimboni Kiteto, sijui CCM wanahofia nini??

Kapteni Komba akishuka katika helikopta waliyoikodi kutoka Kenya.



Eti CCM walisema matumizi ya Helikopta ni ufisadi sasa leo imekuwaje wanatumia helikopta maji yamefika shingoni nini???

No comments:

Kiwanda cha Tansalt Tanga, Mwarobaini wa Soko la Madini ya Chumvi Nchini

  ☑️ Kiwanda kina uwezo wa kuzalisha tani 5 hadi 8 kwa saa. 📍 Tanga Kiwanda cha Tansalt kilichopo mkoani Tanga kimekuwa msaada mkubwa kwa w...