Sunday, February 24, 2008

Leo ni Leo Kiteto


Tambwe Hizza akifanya mambo

Wana mgambo wakiwa tayari kudhibiti vurugu.

FFU wamemwagwa kibao jimboni Kiteto, sijui CCM wanahofia nini??

Kapteni Komba akishuka katika helikopta waliyoikodi kutoka Kenya.



Eti CCM walisema matumizi ya Helikopta ni ufisadi sasa leo imekuwaje wanatumia helikopta maji yamefika shingoni nini???

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...