Sunday, February 24, 2008

Leo ni Leo Kiteto


Tambwe Hizza akifanya mambo

Wana mgambo wakiwa tayari kudhibiti vurugu.

FFU wamemwagwa kibao jimboni Kiteto, sijui CCM wanahofia nini??

Kapteni Komba akishuka katika helikopta waliyoikodi kutoka Kenya.



Eti CCM walisema matumizi ya Helikopta ni ufisadi sasa leo imekuwaje wanatumia helikopta maji yamefika shingoni nini???

No comments:

KUSANYENI KODI NA MADENI BILA KUOGOPA MTU YEYOTE– WAZIRI AKWILAPO ASEMA AKIZINDUA BODI MPYA YA NHC

  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk. Leonard Akwilapo, akimkabidhi Mwenyekiti wa Bodi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC),...