Friday, February 08, 2008

Amani ya Kenya



Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan (katikati), Mke wa Rais Mstaafu wa Afrika Kusini, Nelson Mandela' Graca Machel (kushoto) na Rais wa mstaafu wa Tanzania Benjamin Mkapa wakiondoka katika ukumbi wa majadiliano ya amani jijini Nairobi, jana. Vyama vinavyohasimiana nchini Kenya vimefikia hatua nzuri na huenda vikafikia maafikiano ya aina fulani ndani ya siku chache zijazo kuhusiana na mgogoro uliotokana na matokeo ya uchaguzi December 27, hayo yalifahamishwa na Annan picha na REUTERS.

No comments:

FURSA MPYA KWA VIJANA: BILIONI 2 KWA WATENGENEZAJI WA MAUDHUI

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda, amesema Wizara imepatiwa kiasi cha TZS bilioni 2 itakayowawezesha watengene...