Wednesday, February 20, 2008

LOWASSA AMKABIDHI PINDA OFISI

Duhhh sisi tumestukia picha tu zinatufikia kwamba Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa anamkabidhi ofisi kimya kimya Waziri Mkuu mpya, Mizengo Pinda tunajiuliza Whyyyy ??? Kwanini??? mbona haya mbambo yanakuwa hivi ??? Picha ni ya Ofisi ya Waziri Mkuu.

No comments:

WAZIRI MASAUNI ASHUHUDIA NUSU FAINALI YA KOMBE LA MAPINDUZI ZANZIBAR

Zanzibar — Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Hamad Yussuf Masauni , ameshuhudia mchezo wa kwanza wa nusu fain...