Wednesday, February 20, 2008

LOWASSA AMKABIDHI PINDA OFISI

Duhhh sisi tumestukia picha tu zinatufikia kwamba Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa anamkabidhi ofisi kimya kimya Waziri Mkuu mpya, Mizengo Pinda tunajiuliza Whyyyy ??? Kwanini??? mbona haya mbambo yanakuwa hivi ??? Picha ni ya Ofisi ya Waziri Mkuu.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...