Wednesday, February 20, 2008

LOWASSA AMKABIDHI PINDA OFISI

Duhhh sisi tumestukia picha tu zinatufikia kwamba Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa anamkabidhi ofisi kimya kimya Waziri Mkuu mpya, Mizengo Pinda tunajiuliza Whyyyy ??? Kwanini??? mbona haya mbambo yanakuwa hivi ??? Picha ni ya Ofisi ya Waziri Mkuu.

No comments:

KASI YA UJENZI WA RELI YA SGR IMEONGEZEKA – PROF. MBARAWA

  Wahudumu wa ndani (Train crew) wa shirika la reli Tanzania (TRC) upande wa Standard Gauge Railway (SGR) wamehudhuria Bungeni Jijini Dodoma...