Wednesday, February 20, 2008

LOWASSA AMKABIDHI PINDA OFISI

Duhhh sisi tumestukia picha tu zinatufikia kwamba Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa anamkabidhi ofisi kimya kimya Waziri Mkuu mpya, Mizengo Pinda tunajiuliza Whyyyy ??? Kwanini??? mbona haya mbambo yanakuwa hivi ??? Picha ni ya Ofisi ya Waziri Mkuu.

No comments:

TBC Yawajengea Uwezo Washitiri Uzalishaji wa Vipindi

Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Bw. Gwakisa Mlawa akizungumza wakati wa kufunga Mkutano wa 110 wa wadau wa elimu k...