Monday, February 18, 2008

Hospitali ya Mount Meru







Rais Geoge Bush wa marekani akiwa akiwa amemshika mama mjamzito baada ya kumkabidhi chandarua kwa ajili ya kujikinga na mbuu muda mfupi uliyopita alipotembelea hospitali ya wilaya ya Meru mkoani arusha , kushoto kwake ni Dr Aziz Msuya wa hospitali hiyo.


No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...