Monday, February 18, 2008

Hospitali ya Mount Meru







Rais Geoge Bush wa marekani akiwa akiwa amemshika mama mjamzito baada ya kumkabidhi chandarua kwa ajili ya kujikinga na mbuu muda mfupi uliyopita alipotembelea hospitali ya wilaya ya Meru mkoani arusha , kushoto kwake ni Dr Aziz Msuya wa hospitali hiyo.


No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...