Wednesday, February 27, 2008

Jakaya Kikwete yuko Kenya

Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika Jakaya Kikwete akipokewa na Rais Mwai Kibaki wa Kenya akikaribishwa kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi jana jioni. JK yupo jijini Nairobi kwa ajili ya mazungumzo ya amani.

No comments:

KUSANYENI KODI NA MADENI BILA KUOGOPA MTU YEYOTE– WAZIRI AKWILAPO ASEMA AKIZINDUA BODI MPYA YA NHC

  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk. Leonard Akwilapo, akimkabidhi Mwenyekiti wa Bodi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC),...