Wednesday, February 27, 2008

Jakaya Kikwete yuko Kenya

Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika Jakaya Kikwete akipokewa na Rais Mwai Kibaki wa Kenya akikaribishwa kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi jana jioni. JK yupo jijini Nairobi kwa ajili ya mazungumzo ya amani.

No comments:

KAMISHNA WA UHIFADHI TANAPA AFANYA ZIARA YA KIKAZI KITUO CHA MALIKALE – MTWA MKWAWA, IHINGA, IRINGA

Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), CPA Musa Nassoro Kuji ,  amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Malikale ch...