Wednesday, February 27, 2008

Jakaya Kikwete yuko Kenya

Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika Jakaya Kikwete akipokewa na Rais Mwai Kibaki wa Kenya akikaribishwa kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi jana jioni. JK yupo jijini Nairobi kwa ajili ya mazungumzo ya amani.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...