Wednesday, February 27, 2008

Jakaya Kikwete yuko Kenya

Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika Jakaya Kikwete akipokewa na Rais Mwai Kibaki wa Kenya akikaribishwa kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi jana jioni. JK yupo jijini Nairobi kwa ajili ya mazungumzo ya amani.

No comments:

MAJALIWA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA TEWW

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Oktoba 25, 2025 ni mgeni rasmi katika kongamano la kilele cha maadhimisho ya miaka 50 ya Taasisi ya Elimu y...