Friday, February 29, 2008

Mambo sasa shwari Kenya




Rais Mwai Kibaki (kushoto) na Kiongozi Mkuu wa chama cha Upinzani nchini Kenya cha
ODM Raila Odinga(kulia) wakitia saini baada ya kufikia muafaka ambao waziri mkuu wa kenya sasa atatoka chama kikuu cha upinzani nchini humo ambacho ni ODM kinachoongoza na Raila Odinga, Muafaka huo umefikiwa chini ya Mpatanishi wa kimataifa na katibu mkuu mstaafu wa umoja wa mataifa Koffi Annan wa pili kushoto mstari wa nyuma, Rais Jakaya Kikwete wa kwanza mstari wa nyuma kushoto ambaye pia ni Mwenyekiti wa Africa Union,na Rais Mstaafu wa Tanzania Benjamin Mkapa kwa kulia mstari wa nyuma..

No comments:

MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na S...