Thursday, February 07, 2008

Lowassa ajiuzulu


Habari tulizozipata hivi karibuni kutoka Dodoma zinasema kuwa Waziri Mkuu Edward Lowassa ametangaza kujiuzulu uwaziri Mkuu mbele ya Spika wa bunge Samwel Sitta.

Baada ya kutangaza nia yake hiyo, spika amesema mjadala wa ripoti ya richmond, na sio mjadala wa lowassa, ndio uendelee. Na ndicho kinachofanyika hivi sasa huko bungeni.

habari zaidi zinasema kwamba Lowassa amesema tayari ameshamwandikia Rais barua ya kujiuzulu kwa kuwa kamati haikumtendea haki kwa kutomuuliza ambayo ni kinyume ya haki yake ya asili ya kujitetea.

4 comments:

Anonymous said...

Lasuapkam
[url=http://healthplusrx.com/kidney-stones]kidney stones[/url]
MaksCaummaBut

Unknown said...

have a peek at these guysVisit Website More about the authormy sources useful referenceyou can try these out

gethea said...

Cliquez Ici sacs de répliques de Chine leur site Web sacs répliques de bonne qualité son commentaire est ici répliques de sacs à main ysl

mclesle said...

t0y12t3a59 x1w83d0j72 v3t07k0e87 h8e94c8d34 o2p96h1t52 i2q18v6u81